Ameweka nadhiri ya kufunga siku mbili kila mwezi sasa ameshindwa

Swali: Kuna mwanamke ameweka nadhiri ya kufunga siku mbili kila mwezi. Mwaka jana alichoka na hakuweza kufunga mpaka hii leo. Kipi kinachomlazimu?

Jibu: Atoa kafara ya yamini. Pale atapoweza aendelee na kufunga.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-06-13.mp3
  • Imechapishwa: 21/08/2020