Swali: Ndugu yangu mmoja ana umri wa miaka kumi na nane. Baba yake ameshafariki. Ninamsimamia ili aweze kukamilisha masomo yake. Je, tendo hili linaingia katika kuwasimamia mayatima?
Jibu: Hapana, huyu ameshabaleghe. Huku kunaingia katika kusaidia katika kheri. Vinginevyo huyu sio yatima kwa sababu ameshabaleghe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-06-13.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ndugu yangu mmoja ana umri wa miaka kumi na nane. Baba yake ameshafariki. Ninamsimamia ili aweze kukamilisha masomo yake. Je, tendo hili linaingia katika kuwasimamia mayatima?
Jibu: Hapana, huyu ameshabaleghe. Huku kunaingia katika kusaidia katika kheri. Vinginevyo huyu sio yatima kwa sababu ameshabaleghe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-06-13.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/ambaye-kishabaleghe-sio-yatima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)