Swali: Nilienda hajj na mke wangu mmoja na nikabaki naye huko kwa muda wa miezi miwili. Je, inanilazimu kubaki na mke wangu wa pili kwa kiasi cha miezi miwili?
Jibu: Hapana. Umepewa udhuru kutokana na safari yako. Hivyo unatakiwa kuanza kugawa zamu kati ya wake zako kuanzia mwanzo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 19/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)