Swali: Mswaliji akipitwa na swalah ya kuomba mvua akaja na kumkuta imamu anatoa Khutbah – je, ailipe na kivipi ikiwa inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hakuna neno akailipa. Kuilipa ndio bora. Ailipe kutokana na sifa yake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 15/01/2021
Swali: Mswaliji akipitwa na swalah ya kuomba mvua akaja na kumkuta imamu anatoa Khutbah – je, ailipe na kivipi ikiwa inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hakuna neno akailipa. Kuilipa ndio bora. Ailipe kutokana na sifa yake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 15/01/2021
https://firqatunnajia.com/amepitwa-na-swalah-ya-kuomba-mvua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)