Swali: Wanafunzi hawa wanakupa pole juu ya mnasaba wa kuaga dunia kwa muheshimiwa Shaykh na ´Allaamah Zayd bin Haadiy al-Madkhaliy (Rahimahu Allaah).
Jibu: Alikuwa ni mwanachuoni na mwenye fadhilah na mwenye kujishughulisha na elimu. Alikuwa akitumia muda wake juu ya yale yenye kumnufaisha. Alikuwa diama ni mwenye kujishughulisha na elimu kwa njia ya kutunga na kufunza. Alikuwa ni miongoni mwa watu bora. Huo ndio ufahamu wetu juu yake na Allaah ndiye atakayemuhesabu. Allaah amsamehe na amrehemu na asitupe mtihani sisi baada yake.
- Muhusika: ´Allâmah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbâd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=142881
- Imechapishwa: 15/01/2021
Swali: Wanafunzi hawa wanakupa pole juu ya mnasaba wa kuaga dunia kwa muheshimiwa Shaykh na ´Allaamah Zayd bin Haadiy al-Madkhaliy (Rahimahu Allaah).
Jibu: Alikuwa ni mwanachuoni na mwenye fadhilah na mwenye kujishughulisha na elimu. Alikuwa akitumia muda wake juu ya yale yenye kumnufaisha. Alikuwa diama ni mwenye kujishughulisha na elimu kwa njia ya kutunga na kufunza. Alikuwa ni miongoni mwa watu bora. Huo ndio ufahamu wetu juu yake na Allaah ndiye atakayemuhesabu. Allaah amsamehe na amrehemu na asitupe mtihani sisi baada yake.
Muhusika: ´Allâmah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbâd
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=142881
Imechapishwa: 15/01/2021
https://firqatunnajia.com/zayd-al-madkhaliy-mmoja-katika-watu-bora-kabisa/