Swali: Mswaliji akipitwa na swalah ya kuomba mvua akaja na kumkuta imamu anatoa Khutbah – je, ailipe na kivipi ikiwa inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hakuna neno akailipa. Kuilipa ndio bora. Ailipe kutokana na sifa yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 15/01/2021
Swali: Mswaliji akipitwa na swalah ya kuomba mvua akaja na kumkuta imamu anatoa Khutbah – je, ailipe na kivipi ikiwa inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hakuna neno akailipa. Kuilipa ndio bora. Ailipe kutokana na sifa yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 15/01/2021
https://firqatunnajia.com/amepitwa-na-swalah-ya-kuomba-mvua/