Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
وَرَفَعْنَاهُ مَكَانًا عَلِيًّا
“Tukamuinua daraja ya juu.”[1]
Ni ipi maana ya Aayah hii?
Jibu: Baadhi yao wamesema kuwa amenyanyuliwa mbinguni. Lakini hili linahitajia dalili. Ikithibiti ni sawa. Inaweza vilevile ikawa ni unyanyuliwa wa kimaana.
[1] 19:57
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 14/11/2021
Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
وَرَفَعْنَاهُ مَكَانًا عَلِيًّا
“Tukamuinua daraja ya juu.”[1]
Ni ipi maana ya Aayah hii?
Jibu: Baadhi yao wamesema kuwa amenyanyuliwa mbinguni. Lakini hili linahitajia dalili. Ikithibiti ni sawa. Inaweza vilevile ikawa ni unyanyuliwa wa kimaana.
[1] 19:57
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 14/11/2021
https://firqatunnajia.com/amenyanyuliwa-mbinguni/