Swali: Je, kunaingia katika zile aina ya nadhiri za haramu ambaye atamuwekea nadhiri aliye hai kwa kusema:

“Nalazimika kuwachinjia kadhaa endapo nitapewa ajira.”?

Jibu: Hii sio nadhiri. Hii ni ahadi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18262
  • Imechapishwa: 14/11/2021