Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
وَرَفَعْنَاهُ مَكَانًا عَلِيًّا
“Tukamuinua daraja ya juu.”[1]
Ni ipi maana ya Aayah hii?
Jibu: Baadhi yao wamesema kuwa amenyanyuliwa mbinguni. Lakini hili linahitajia dalili. Ikithibiti ni sawa. Inaweza vilevile ikawa ni unyanyuliwa wa kimaana.
[1] 19:57
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 14/11/2021
Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
وَرَفَعْنَاهُ مَكَانًا عَلِيًّا
“Tukamuinua daraja ya juu.”[1]
Ni ipi maana ya Aayah hii?
Jibu: Baadhi yao wamesema kuwa amenyanyuliwa mbinguni. Lakini hili linahitajia dalili. Ikithibiti ni sawa. Inaweza vilevile ikawa ni unyanyuliwa wa kimaana.
[1] 19:57
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 14/11/2021
https://firqatunnajia.com/amenyanyuliwa-mbinguni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)