Amempa mchinjaji malipo kutoka katika kichinjwa cha Udhhiyah

Swali: Kipi kinachomlazimu yule ambaye sehemu ya kichinjwa chake kuwa ni malipo kwa yule mchinjaji?

Jibu: Atubu kwa Allaah.

Swali: Achinje mnyama wa Udhhiyah mpya akiwa alifanya hivo kwa kujua?

Jibu: Hahitajii kuchinja mnyama mpya.

  • Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (564)
  • Imechapishwa: 28/07/2020