Swali: Kipi kinachomlazimu yule ambaye sehemu ya kichinjwa chake kuwa ni malipo kwa yule mchinjaji?
Jibu: Atubu kwa Allaah.
Swali: Achinje mnyama wa Udhhiyah mpya akiwa alifanya hivo kwa kujua?
Jibu: Hahitajii kuchinja mnyama mpya.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (564)
- Imechapishwa: 28/07/2020
Swali: Kipi kinachomlazimu yule ambaye sehemu ya kichinjwa chake kuwa ni malipo kwa yule mchinjaji?
Jibu: Atubu kwa Allaah.
Swali: Achinje mnyama wa Udhhiyah mpya akiwa alifanya hivo kwa kujua?
Jibu: Hahitajii kuchinja mnyama mpya.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (564)
Imechapishwa: 28/07/2020
https://firqatunnajia.com/amempa-mchinjaji-malipo-kutoka-katika-kichinjwa-cha-udhhiyah/