Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye imempita swalah ya Maghrib na wala hakukumbuka isipokuwa wakati kulipokimiwa swalah ya ´Ishaa?
Jibu: Aswali pamoja nao swalah iliyopendekezwa. Kisha wakitoa salamu ataswali Maghrib kisha ´Ishaa. Hili ndio salama zaidi.
Yapo maoni mengine ya wanazuoni. Yanasema kwamba ataswali pamoja nao ´Ishaa kisha wanaposimama katika Rak´ah ya nne ataketi chini. Atasubiri mpaka pale imamu anatoa salamu na yeye atatoa salamu pamoja naye.
Akiswali ´Ishaa kwanza kisha ndio akaswali Maghrib basi ni mwenye kupewa udhuru. Salama zaidi ni yeye kuswali Maghrib pamoja nao. Kisha wakitoa salamu ataswali Maghrib halafu ataswali ´Ishaa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 19/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye imempita swalah ya Maghrib na wala hakukumbuka isipokuwa wakati kulipokimiwa swalah ya ´Ishaa?
Jibu: Aswali pamoja nao swalah iliyopendekezwa. Kisha wakitoa salamu ataswali Maghrib kisha ´Ishaa. Hili ndio salama zaidi.
Yapo maoni mengine ya wanazuoni. Yanasema kwamba ataswali pamoja nao ´Ishaa kisha wanaposimama katika Rak´ah ya nne ataketi chini. Atasubiri mpaka pale imamu anatoa salamu na yeye atatoa salamu pamoja naye.
Akiswali ´Ishaa kwanza kisha ndio akaswali Maghrib basi ni mwenye kupewa udhuru. Salama zaidi ni yeye kuswali Maghrib pamoja nao. Kisha wakitoa salamu ataswali Maghrib halafu ataswali ´Ishaa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 19/11/2021
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-maghrib-wakati-wa-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)