Swali: Je, inafaa kwa msafiri kuswali swalah ya ´Ishaa kwa kufupisha pamoja na mkusanyiko unaoswali Maghrib kwa njia ya kwamba ataketi chini baada ya Rak´ah mbili mpaka pale atapotoa salamu pamoja naye?
Jibu: Haya ni maoni ya baadhi ya wanazuoni. Maoni ya pili ni kwamba haifai kwake kufanya hivo kwa sababu swalah ni zenye kutofautiana. Moja ni swalah ya Rak´ah tatu na nyingine ni swalah ya Rak´ah nne. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika si venginevyo imamu amewekwa ili afuatwe. Hivyo msitofautiane naye.”
Kwa hiyo aswali pamoja nao swalah iliyopendekezwa. Wakitoa salamu ndipo ataswali ´Ishaa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 19/11/2021
Swali: Je, inafaa kwa msafiri kuswali swalah ya ´Ishaa kwa kufupisha pamoja na mkusanyiko unaoswali Maghrib kwa njia ya kwamba ataketi chini baada ya Rak´ah mbili mpaka pale atapotoa salamu pamoja naye?
Jibu: Haya ni maoni ya baadhi ya wanazuoni. Maoni ya pili ni kwamba haifai kwake kufanya hivo kwa sababu swalah ni zenye kutofautiana. Moja ni swalah ya Rak´ah tatu na nyingine ni swalah ya Rak´ah nne. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika si venginevyo imamu amewekwa ili afuatwe. Hivyo msitofautiane naye.”
Kwa hiyo aswali pamoja nao swalah iliyopendekezwa. Wakitoa salamu ndipo ataswali ´Ishaa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 19/11/2021
https://firqatunnajia.com/njia-salama-zaidi-kwa-msafiri-anayeswali-ishaa-nyuma-ya-imamu-anayeswali-maghrib/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)