Swali: Mtu akiamka kutoka usingizini baada ya kupambazuka alfajiri siku ya kwanza ya Ramadhaan ambapo akala ilihali hajui kuwa siku hiyo ni Ramadhaan. Baadaye ndio akaelezwa. Je, anatakiwa kufunga au kula?
Jibu: Afunge na haimdhuru kwa sababu alidhani kubakia kwa usiku. Aendelee kufunga na swawm yake ni sahihi.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 74-75
- Imechapishwa: 15/03/2024
Swali: Mtu akiamka kutoka usingizini baada ya kupambazuka alfajiri siku ya kwanza ya Ramadhaan ambapo akala ilihali hajui kuwa siku hiyo ni Ramadhaan. Baadaye ndio akaelezwa. Je, anatakiwa kufunga au kula?
Jibu: Afunge na haimdhuru kwa sababu alidhani kubakia kwa usiku. Aendelee kufunga na swawm yake ni sahihi.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 74-75
Imechapishwa: 15/03/2024
https://firqatunnajia.com/amekula-baada-ya-alfajiri-siku-ya-kwanza-bila-kujua-kuwa-ni-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)