Swali: Kuna mtu alikufa kabla ya kutoa zakaah yake. Je, dhimma yake ya inatakasika endapo watoto wake watamtolea nayo?
Jibu: Kama ameacha mirathi basi zakaah itatolewa kutoka kwenye mirathi yake. Kwa sababu ni deni liko juu yake. Deni ndilo linatakiwa kuanzwa kabla ya kugawa mirathi na wasia. Ndio haki ya kwanza iliyofungamana na mirathi baada ya kumaliza kumwandaa maiti. Deni ni jambo muhimu sana. Ama kama alikuwa hana mirathi yoyote na wakataka kumtakasia dhimma yake, jambo hilo ni katika kumtendea wema ijapokuwa sio ndugu zao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 05/10/2019
Swali: Kuna mtu alikufa kabla ya kutoa zakaah yake. Je, dhimma yake ya inatakasika endapo watoto wake watamtolea nayo?
Jibu: Kama ameacha mirathi basi zakaah itatolewa kutoka kwenye mirathi yake. Kwa sababu ni deni liko juu yake. Deni ndilo linatakiwa kuanzwa kabla ya kugawa mirathi na wasia. Ndio haki ya kwanza iliyofungamana na mirathi baada ya kumaliza kumwandaa maiti. Deni ni jambo muhimu sana. Ama kama alikuwa hana mirathi yoyote na wakataka kumtakasia dhimma yake, jambo hilo ni katika kumtendea wema ijapokuwa sio ndugu zao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 05/10/2019
https://firqatunnajia.com/amekufa-kabla-ya-kutoa-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)