Swali: Kuna mtu alikusanya pesa ili aitolee zakaah ardhi yake ilioko Misri. Akaibiwa pesa hiyo ya zakaah na matumizi yake binafsi huko Madiynah. Je, anazingatiwa kuwa amekwishatoa pesa ya zakaah kutokana na nia yake?
Jibu: Hapana, hajatoa zakaah mpaka awafikishe nayo kwa watu wake wenye kuiistahiki. Akiibiwa Allaah atampa nyingine bora zaidi. Hata hivyo analazimika kutoa zakaah. Analazimika kutoa zakaah hadi aifikishe kwa watu wake wenye kuiistahiki. Muda wa kuwa iko kwake anahesabika hajaitoa. Ni mamoja ameibiwa au ameitumia. Hajatoa zakaah mpaka aitoe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22995/ما-حكم-من-اخرج-مال-الزكاة-فسرق-قبل-اداىه
- Imechapishwa: 06/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)