Swali: Ni nani anayetangulizwa mbele kati ya aliyehifadhi pakubwa au mwenye uelewa zaidi wanapokutana?
Jibu: Anayesoma bora zaidi na mwenye kisomo kingi zaidi. Wanapolingana katika uzuri basi ambaye ana kisomo kingi zaidi. Hilo ni kutokana na Hadiyth ya ´Umar bin Salamah:
“Akuongozeni yule mwenye Qur-aan zaidi kati yenu.”
Swali: Inawezekana akawa amehifadhi Qur-aan sehemu kubwa lakini hata hivyo ni mwenye kunyoa ndevu zake na mwenye kuvaa nguo inayovuka kongo mbili za miguu.
Jibu: Atatangulizwa mbele yule mwadilifu na asitangulizwe mtenda madhambi mazito.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23737/من-يقدم-للامامة-اذا-اجتمع-الاحفظ-والافقه
- Imechapishwa: 15/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)