Swali: Nilifanya ´Umrah nikiwa na watoto wawili wadogo. Wakaingia ndani ya Ihraam wakiwa kwenye kituo, lakini walipoanza Sa´y walichoka. Je, kuna kitu kinanibidi kufanya?
Jibu: Unapaswa kuwabeba juu ya gari au kuwabeba mikononi wakati wa Sa´y. Watoto, ikiwa watachoka au kushindwa, mzazi wao au mlezi mwingine anaweza kufanyisha Twawaaf na Sa´y. Awasaidie kukamilisha.
Swali: Sikuwafanya Sa´y kwa niaba yao. Je, hivi sasa kuna jambo linalonilazimu?
Jibu: Udhahiri ni kwamba unapaswa kurudi na kuwafanyisha Sa´y, kwa sababu wewe ndiye umejilazimisha kwao na ukaingia nao ndani ya Ihraam. Kwa hivyo unapaswa kumalizia´ibaadah yao, kufanya nao Sa´y na kupunguza nywele kwa niaba yao. Amesema (Ta´ala):
وَأَتِمُّوا الْحَجَّ وَالْعُمْرَةَ لِلَّـهِ
“Timizeni Hajj na ‘Umrah kwa ajili ya Allaah. “[1]
Wewe ndiye uliyewaingiza katika ´ibaadah hiyo.
[1] 02:196
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24965/ماذا-يلزم-من-اعتمر-ومعه-طفلان-لم-يسعيا
- Imechapishwa: 14/01/2025
Swali: Nilifanya ´Umrah nikiwa na watoto wawili wadogo. Wakaingia ndani ya Ihraam wakiwa kwenye kituo, lakini walipoanza Sa´y walichoka. Je, kuna kitu kinanibidi kufanya?
Jibu: Unapaswa kuwabeba juu ya gari au kuwabeba mikononi wakati wa Sa´y. Watoto, ikiwa watachoka au kushindwa, mzazi wao au mlezi mwingine anaweza kufanyisha Twawaaf na Sa´y. Awasaidie kukamilisha.
Swali: Sikuwafanya Sa´y kwa niaba yao. Je, hivi sasa kuna jambo linalonilazimu?
Jibu: Udhahiri ni kwamba unapaswa kurudi na kuwafanyisha Sa´y, kwa sababu wewe ndiye umejilazimisha kwao na ukaingia nao ndani ya Ihraam. Kwa hivyo unapaswa kumalizia´ibaadah yao, kufanya nao Sa´y na kupunguza nywele kwa niaba yao. Amesema (Ta´ala):
وَأَتِمُّوا الْحَجَّ وَالْعُمْرَةَ لِلَّـهِ
“Timizeni Hajj na ‘Umrah kwa ajili ya Allaah. “[1]
Wewe ndiye uliyewaingiza katika ´ibaadah hiyo.
[1] 02:196
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24965/ماذا-يلزم-من-اعتمر-ومعه-طفلان-لم-يسعيا
Imechapishwa: 14/01/2025
https://firqatunnajia.com/amefanya-umrah-na-watoto-ambao-wameshindwa-kufanya-say/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)