Swali: Kuna mwanamke alienda kwa mchawi bila kujua ya kwamba ni mchawi. Akapokea aliyompa na akayatumia pamoja na kutambua ya kwamba alikuwa mgonjwa. Je, ana dhambi?
Jibu: Ni wajibu kwake kutubia na kuomba msamaha. Midhali amezinduka katika mustakabali asirudi kufanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 23/01/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)