Swali: Ndugu yangu mmoja ana umri wa miaka kumi na nane. Baba yake ameshafariki. Ninamsimamia ili aweze kukamilisha masomo yake. Je, tendo hili linaingia katika kuwasimamia mayatima?
Jibu: Hapana, huyu ameshabaleghe. Huku kunaingia katika kusaidia katika kheri. Vinginevyo huyu sio yatima kwa sababu ameshabaleghe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-06-13.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ndugu yangu mmoja ana umri wa miaka kumi na nane. Baba yake ameshafariki. Ninamsimamia ili aweze kukamilisha masomo yake. Je, tendo hili linaingia katika kuwasimamia mayatima?
Jibu: Hapana, huyu ameshabaleghe. Huku kunaingia katika kusaidia katika kheri. Vinginevyo huyu sio yatima kwa sababu ameshabaleghe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-06-13.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/ambaye-kishabaleghe-sio-yatima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
