Swali: Ni ipi hukumu ya kutoka nje ya msikiti baada ya adhaana?
Jibu: Imekatazwa na haijuzu. Imethibiti kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) kwamba alimuona bwana mmoja anayetoka msikiti baada ya adhaana ambapo akasema:
“Ama huyu amemuasi Abul-Qaasim (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 15/10/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket