Swali: Kufuru na imani vimeumbwa?
Jibu: Ni katika viumbe vya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
اللَّـهُ خَالِقُ كُلِّ شَيْءٍ
“Allaah ndiye Muumbaji wa kila kitu.” (39:62)
Allaah ameumba imani na kufuru kwa hekima. Ameumba, akakadiria na akafanya kupatikana imani na kufuru kutokana na hekima [aijuayo].
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)