Swali: Baadhi ya Misikiti wanaweka “Allaah” upande wa kulia wa Mihrab na “Muhammad” upande wake wa kushoto. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Hili halijuzu. Hili ni jina la Mtume likiwa pamoja na Allaah (Jalla wa ´Alaa). Baadhi yao huweka “Ee Allaah!” na “Ee Muhammd!”. Wengine huweka “Allaah”, “Muhammad”. Yote haya hayajuzu.
Asli ya kuandika kwenye misikiti haijuzu, sawa ikiwa ni Aayah za Qur-aan au mambo mengine. Misikiti isiwashughulishe wenye kuswali na wala isiwe na mapambo. Misikiti haikujengwa kwa ajili ya haya. Msikiti ni nyumba ya kufanyia ´ibaadah. Haikujengwa kwa ajili ya mapambo.
Kuandika “Allaah” upande wa Mihrab na”Muhammad” upande mwingine, hili halijuzu.
Baraza za kufutu limetoa fatwa kuhusu kuondosha mambo haya. Haijuzu kufanya hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Baadhi ya Misikiti wanaweka “Allaah” upande wa kulia wa Mihrab na “Muhammad” upande wake wa kushoto. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Hili halijuzu. Hili ni jina la Mtume likiwa pamoja na Allaah (Jalla wa ´Alaa). Baadhi yao huweka “Ee Allaah!” na “Ee Muhammd!”. Wengine huweka “Allaah”, “Muhammad”. Yote haya hayajuzu.
Asli ya kuandika kwenye misikiti haijuzu, sawa ikiwa ni Aayah za Qur-aan au mambo mengine. Misikiti isiwashughulishe wenye kuswali na wala isiwe na mapambo. Misikiti haikujengwa kwa ajili ya haya. Msikiti ni nyumba ya kufanyia ´ibaadah. Haikujengwa kwa ajili ya mapambo.
Kuandika “Allaah” upande wa Mihrab na”Muhammad” upande mwingine, hili halijuzu.
Baraza za kufutu limetoa fatwa kuhusu kuondosha mambo haya. Haijuzu kufanya hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-na-muhammad-kwenye-kuta-za-misikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)