Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga ndoa kwenye misikiti?
Jibu: Ni Sunnah. Imesuniwa kufunga ndoa msikitini. Hili sio kama biashara. Kilichokatazwa ni kufanya biashara na mambo ya kidunia. Ama kuhusu kufunga ndoa, hili makusudio yake sio biashara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga ndoa kwenye misikiti?
Jibu: Ni Sunnah. Imesuniwa kufunga ndoa msikitini. Hili sio kama biashara. Kilichokatazwa ni kufanya biashara na mambo ya kidunia. Ama kuhusu kufunga ndoa, hili makusudio yake sio biashara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kufunga-ndoa-misikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)