Swali: Maneno ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala):
لَأَسْقَيْنَاهُم مَّاءً غَدَقًا
“… bila shaka Tungeliwanywesha maji kwa wingi.” (72:16)
Je, ina maana ya kwamba jini lina haja ya maji?
Jibu: Bila ya shaka. Jini ni kama mwanaadamu. Lina haja ya maji, chakula na kinywaji na kadhalika. Jini ni kama binaadamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Maneno ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala):
لَأَسْقَيْنَاهُم مَّاءً غَدَقًا
“… bila shaka Tungeliwanywesha maji kwa wingi.” (72:16)
Je, ina maana ya kwamba jini lina haja ya maji?
Jibu: Bila ya shaka. Jini ni kama mwanaadamu. Lina haja ya maji, chakula na kinywaji na kadhalika. Jini ni kama binaadamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-22.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/majini-ni-kama-wanadamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)