Swali: Kwetu kuna baadhi ya Suufiyyah wanaosema kuwa maiti waliyomo ndani ya makaburi wanasikia du´aa na wanatumia dalili kwa hili kwamba inajuzu kuwaomba na kufanya Tawassul kupitia kwao…
Jibu: Lakini Allaah anasema:
إِن تَدْعُوهُمْ لَا يَسْمَعُوا دُعَاءَكُمْ وَلَوْ سَمِعُوا مَا اسْتَجَابُوا لَكُمْ
“Mkiwaomba hawasikii maombi yenu, na hata wakisikia, hawatakuitikieni.” (35:14)
Hawa wanasema kuwa wanasikia? Tumwamini nani? Allaah au hawa makhurafi?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (43) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2019%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Kwetu kuna baadhi ya Suufiyyah wanaosema kuwa maiti waliyomo ndani ya makaburi wanasikia du´aa na wanatumia dalili kwa hili kwamba inajuzu kuwaomba na kufanya Tawassul kupitia kwao…
Jibu: Lakini Allaah anasema:
إِن تَدْعُوهُمْ لَا يَسْمَعُوا دُعَاءَكُمْ وَلَوْ سَمِعُوا مَا اسْتَجَابُوا لَكُمْ
“Mkiwaomba hawasikii maombi yenu, na hata wakisikia, hawatakuitikieni.” (35:14)
Hawa wanasema kuwa wanasikia? Tumwamini nani? Allaah au hawa makhurafi?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (43) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2019%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-au-hawa-makhurafi/