Swali: Ambaye amewahi Rak´ah moja amewahi fadhilah za Takbiyrat-ul-Ihraam?
Jibu: Hapana, maoni ya sawa ni kwamba hakuwahi fadhilah zake isipokuwa kwa kuileta.
Swali: Ikiwa alikuwa anaswali swalah ya mamkuzi ya msikiti…
Jibu: Aikate.
Swali: … ilihali anajua kuwa atakosa Takbiyrat-ul-Ihraam?
Jibu: Kukikimiwa swalah basi aikate swalah ya mamkuzi ya msikiti na alete Takbiyrat-ul-Ihraam na imamu. Afanye hivo hata kama amekwishaswali Rak´ah moja. Isipokuwa kama yuko katika Rak´ah ya mwisho na ameshafika katika Rukuu´ ya pili, katika hali hiyo aikamilishe kwa sababu kilichobaki ni kifupi na hivyo atawahi [fadhilah zake] – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22683/ما-الذي-يدرك-به-فضل-تكبيرة-الاحرام
- Imechapishwa: 18/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)