al-Haakim ameeleza kuwa amemsikia Abu Sa´iyd bin Abiy Bakr akisema:
”Wakati walipozuka Kullaabiyyah huko Naysaabuur, Abul-´Abbaas as-Sarraaj akaanza kuwapa mtihani watoto na kukataa kuwafunza watoto wa Kullaabiyyah. Siku moja akaniamrisha kusimama kwenye kikao na akasema: ”Sema kuwa unajitenga kwa Allaah kutokana na Kullaabiyyah.” Nikasema: ”Nikisema hivo basi baba yangu hatonipa mkate.” Akacheka na kusema: ”Achana nalo.”
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/395)
- Imechapishwa: 08/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)