Swali: Kugusa tupu ya mtoto wakati wa kumuogesha kunatengua wudhuu´ au hapana?
Jibu: Dhahiri ni kwamba kunatengua. Kwa sababu kumepokelewa:
“… na kugusa tupu.”
Kunaingia ndani yake tupu ya mtoto na ya mkubwa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3010
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Kugusa tupu ya mtoto wakati wa kumuogesha kunatengua wudhuu´ au hapana?
Jibu: Dhahiri ni kwamba kunatengua. Kwa sababu kumepokelewa:
“… na kugusa tupu.”
Kunaingia ndani yake tupu ya mtoto na ya mkubwa.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3010
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-mwenye-wudhuu-kugusa-tupu-ya-mtoto/