Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke ambaye ameenda ili aweze kuswali katika Chuo Kikuu baada ya hapo atekeleze manufaa yake. Ametawadha na kupangusa kichwa chake juu ya Hijaab ambayo iko kichwani mwake kutokana na ugumu wa kuivua mbio mbio?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo – Allaah akitaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipangusa juu ya kilemba chake kama ilivyothibiti katika “as-Swahiyh” ya Muslim.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3573
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke ambaye ameenda ili aweze kuswali katika Chuo Kikuu baada ya hapo atekeleze manufaa yake. Ametawadha na kupangusa kichwa chake juu ya Hijaab ambayo iko kichwani mwake kutokana na ugumu wa kuivua mbio mbio?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo – Allaah akitaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipangusa juu ya kilemba chake kama ilivyothibiti katika “as-Swahiyh” ya Muslim.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3573
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-mwanamke-kupangusa-juu-ya-mtandio-wakati-wa-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)