Swali: Ni ipi kauli unayoonelea kuwa ina nguvu kuhusu kusema “Bismillaah” kabla ya kutawadha?
Jibu: Tulikuwa tunasema mwenye kutawadha pasi na kutaja jina la Allaah [wudhuu´ wake hausihi] na tulitoa fatwa kwa kauli hii siku zote na kwamba wudhuu´ wake ni batili na hili linapelekea kutosihi kwa Swalah yake.
Hata hivyo ndugu yetu muheshimiwa Shaykh ´Abdul-´Aziyz al-Buraa´iy (Hafidhwahu Allaah) aliandika kijitabu ambacho nilisoma sehemu kidogo au nilikisoma chote na tukaona kuwa dalili zinaonesha kuwa ni bora kufanya hivo [kusema Bismillaah].
Ama Hadiyth ambazo zinaonesha kuwa ni miongoni mwa masharti ya kusihi kwa wudhuu´, ni dhaifu sana. Si sahihi zikatumiwa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2959
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Ni ipi kauli unayoonelea kuwa ina nguvu kuhusu kusema “Bismillaah” kabla ya kutawadha?
Jibu: Tulikuwa tunasema mwenye kutawadha pasi na kutaja jina la Allaah [wudhuu´ wake hausihi] na tulitoa fatwa kwa kauli hii siku zote na kwamba wudhuu´ wake ni batili na hili linapelekea kutosihi kwa Swalah yake.
Hata hivyo ndugu yetu muheshimiwa Shaykh ´Abdul-´Aziyz al-Buraa´iy (Hafidhwahu Allaah) aliandika kijitabu ambacho nilisoma sehemu kidogo au nilikisoma chote na tukaona kuwa dalili zinaonesha kuwa ni bora kufanya hivo [kusema Bismillaah].
Ama Hadiyth ambazo zinaonesha kuwa ni miongoni mwa masharti ya kusihi kwa wudhuu´, ni dhaifu sana. Si sahihi zikatumiwa.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2959
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-kusema-bismillaah-katika-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)