Swali: Damu inayomtoka mtu puani, kwenye donda au damu ya ugonjwa (istihaadhah) inafanya nguo kuwa najisi na inatengua Wudhuu?
Jibu: Hakuna kinachofanya nguo kuwa najisi isipokuwa damu ya hedhi na nifasi. Ama hizi sio najisi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika ya muumini hanajisiki.”
Vilevile isitoshe Maswahabah walikuwa wanaswali na madonda yao au kwa nguo zao ambazo wakati mwingine zilikuwa zinalowa kwa sababu ya madonda yao. Hivyo sio najisi. Isipokuwa damu ya hedhi na nifasi.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2258
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Damu inayomtoka mtu puani, kwenye donda au damu ya ugonjwa (istihaadhah) inafanya nguo kuwa najisi na inatengua Wudhuu?
Jibu: Hakuna kinachofanya nguo kuwa najisi isipokuwa damu ya hedhi na nifasi. Ama hizi sio najisi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika ya muumini hanajisiki.”
Vilevile isitoshe Maswahabah walikuwa wanaswali na madonda yao au kwa nguo zao ambazo wakati mwingine zilikuwa zinalowa kwa sababu ya madonda yao. Hivyo sio najisi. Isipokuwa damu ya hedhi na nifasi.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2258
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/damu-inanajisi-nguo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)