Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kusoma Qur-aan ndani ya msahafu na yuko na hedhi?
Jibu: Sijui makatazo yoyote juu ya hili. al-Bukhaariy (Rahimahu Allaah) amepokea katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa Ibn ´Abbaas ya kwamba alikuwa haonelei neno kwa mwanamke mwenye hedhi kusoma Qur-aan. Na hii ndio kauli sahihi katika kauli za wanachuoni. Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema kumwambia ´Aaishah:
“Fanya anayofanya mwenye hedhi isipokuwa usitufu Ka´bah.”
mwenye kufanya Hajj husoma Qur-aan pia.
- Muhusika: Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=758
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kusoma Qur-aan ndani ya msahafu na yuko na hedhi?
Jibu: Sijui makatazo yoyote juu ya hili. al-Bukhaariy (Rahimahu Allaah) amepokea katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa Ibn ´Abbaas ya kwamba alikuwa haonelei neno kwa mwanamke mwenye hedhi kusoma Qur-aan. Na hii ndio kauli sahihi katika kauli za wanachuoni. Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema kumwambia ´Aaishah:
“Fanya anayofanya mwenye hedhi isipokuwa usitufu Ka´bah.”
mwenye kufanya Hajj husoma Qur-aan pia.
Muhusika: Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=758
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-kuhusu-mwanamke-mwenye-hedhi-kusoma-qur-aan/