Swali: Je, ni sahihi al-Qayrawaaniy aliandika ujumbe huu – ar-Risaalah – wakati alipokuwa mdogo?
Jibu: Ndio. Alimwandikia nayo mwalimu wake wakati alipokuwa anaenda kwenye shule ya Qur-aan. Alipoona kuwa amekomaa na ana akili, akamuomba aandika ujumbe huu. Alikuwa hajafikisha miaka ishirini. Hii ndio natija ya malezi na mafundisho mazuri. Huleta matunda kama haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331103.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Je, ni sahihi al-Qayrawaaniy aliandika ujumbe huu – ar-Risaalah – wakati alipokuwa mdogo?
Jibu: Ndio. Alimwandikia nayo mwalimu wake wakati alipokuwa anaenda kwenye shule ya Qur-aan. Alipoona kuwa amekomaa na ana akili, akamuomba aandika ujumbe huu. Alikuwa hajafikisha miaka ishirini. Hii ndio natija ya malezi na mafundisho mazuri. Huleta matunda kama haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331103.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/al-qayrawaaniy-aliandika-ar-risaalah-akiwa-ni-kijana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)