Swali: Ninatamani kutoka na kwenda kulingania katika dini ya Allaah. Je, nitoke na Jamaa´at-ut-Tabliygh ili niweze kufanya jambo hilo?
Jibu: Unataka kuwa Suufiy? Watu hawa ni Suufiyyah. Utakuja kuwa Suufiy. Unataka kutoka nao? Hapana, usitoke nao. Baki na Ahl-us-Sunnah na chini ya ofisi ya Da´wah. Tuna wizara. Jiunge nao na waombe rukhusa na ulinganie katika dini ya Allaah (´Azza wa Jall) ikiwa una upeo wa kufanya Da´wah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Ninatamani kutoka na kwenda kulingania katika dini ya Allaah. Je, nitoke na Jamaa´at-ut-Tabliygh ili niweze kufanya jambo hilo?
Jibu: Unataka kuwa Suufiy? Watu hawa ni Suufiyyah. Utakuja kuwa Suufiy. Unataka kutoka nao? Hapana, usitoke nao. Baki na Ahl-us-Sunnah na chini ya ofisi ya Da´wah. Tuna wizara. Jiunge nao na waombe rukhusa na ulinganie katika dini ya Allaah (´Azza wa Jall) ikiwa una upeo wa kufanya Da´wah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/unataka-kuwa-suufiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)