Swali: Katika mji wetu kumi la mwisho lote la Ramadhaan imamu wa msikiti wetu ana ada ya kusoma Suurah “al-Qadr” baada ya al-Faatihah na Suurah “al-Ikhlaasw” katika Rak´ah ya pili na anafanya hivi katika kila swalah. Je, hili lina msingi?
Jibu: Hili halina dalili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (76) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-12.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Katika mji wetu kumi la mwisho lote la Ramadhaan imamu wa msikiti wetu ana ada ya kusoma Suurah “al-Qadr” baada ya al-Faatihah na Suurah “al-Ikhlaasw” katika Rak´ah ya pili na anafanya hivi katika kila swalah. Je, hili lina msingi?
Jibu: Hili halina dalili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (76) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-12.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/al-qadr-na-al-ikhlaasw-katika-kumi-la-mwisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)