Swali: Je, umesikia kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh na kutoka kwa wanawake? Je, nitoke pamoja nao ilihali bado sijajifunza dini kwa sasa?
Jibu: Kumesemwa mengi kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh. Sikunasihi kutoka pamoja nao. Lazimiana na wanazuoni na darsa na usikilize kanda za wanazuoni wenye kuaminika na ambao elimu yao imebobea.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.khudheir.com/text/4694
- Imechapishwa: 28/05/2022
Swali: Je, umesikia kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh na kutoka kwa wanawake? Je, nitoke pamoja nao ilihali bado sijajifunza dini kwa sasa?
Jibu: Kumesemwa mengi kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh. Sikunasihi kutoka pamoja nao. Lazimiana na wanazuoni na darsa na usikilize kanda za wanazuoni wenye kuaminika na ambao elimu yao imebobea.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.khudheir.com/text/4694
Imechapishwa: 28/05/2022
https://firqatunnajia.com/al-khudhwayr-kuhusu-jamaaat-ut-tabliygh/