Swali: Je, umesikia kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh na kutoka kwa wanawake? Je, nitoke pamoja nao ilihali bado sijajifunza dini kwa sasa?
Jibu: Kumesemwa mengi kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh. Sikunasihi kutoka pamoja nao. Lazimiana na wanazuoni na darsa na usikilize kanda za wanazuoni wenye kuaminika na ambao elimu yao imebobea.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.khudheir.com/text/4694
- Imechapishwa: 28/05/2022
Swali: Je, umesikia kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh na kutoka kwa wanawake? Je, nitoke pamoja nao ilihali bado sijajifunza dini kwa sasa?
Jibu: Kumesemwa mengi kuhusu Jamaa´at-ut-Tabliygh. Sikunasihi kutoka pamoja nao. Lazimiana na wanazuoni na darsa na usikilize kanda za wanazuoni wenye kuaminika na ambao elimu yao imebobea.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.khudheir.com/text/4694
Imechapishwa: 28/05/2022
https://firqatunnajia.com/al-khudhwayr-kuhusu-jamaaat-ut-tabliygh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)