279. Je, inafaa kwa wanawake kuyatembelea makaburi ya al-Baqiy´?

Swali 279: Je, inafaa kwa wanawake kuyatembelea makaburi ya al-Baqiy´?

Jibu: Ni haramu kwa mwanamke kuyatembelea makaburi, ni mamoja ya al-Baqiy´ au mengine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Kwa tamko hili ni Swahiyh au nzuri.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/319)
  • Imechapishwa: 28/05/2022