Swali: Ni yepi maoni yako kuhusu kundi la al-Ikhwaan al-Muslimuun na Jamaa´at-ut-Tabliygh? Je, unapendekeza kwenda na kutoka nao?
Jibu: Nasaha zangu kwako ni wewe kulazimiana na njia inayotambulika kwa watu wa ukaguzi. Makundi haya mawili wanazuoni wameyazungumzia sana. Unaweza vilevile kutangamana na kulazimiana na wale ambao dhimma imetakasika kwa kuwaigiliza.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://ar.islamway.net/fatwa/37527/ما-رأيك-في-جماعة-الإخوان-والتبليغ
- Imechapishwa: 28/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)