Swali: Je, inajuzu kwa muislamu kueneza vitabu ambavyo vinaita katika migomo, kuwaponda wanachuoni, kueneza utata na vinahamasisha fujo katika miji ya waislamu kama kitabu “As-ilat-uth-Thawrah”[1]?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivyo. Haijuzu kwake kufarikisha baina ya waislamu na kusababisha umwagikaji wa damu na mfarakano. Haijuzu kwake kufanya jambo hili. Ni haramu. Kuna Hadiyth nyingi juu ya kuwadhuru na kuwafarikanisha Waislamu. Haijuzu kwake kufanya hivyo.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/salmaan-al-awdah-na-demokrasia/
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7aqoq-01.mp3
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Je, inajuzu kwa muislamu kueneza vitabu ambavyo vinaita katika migomo, kuwaponda wanachuoni, kueneza utata na vinahamasisha fujo katika miji ya waislamu kama kitabu “As-ilat-uth-Thawrah”[1]?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivyo. Haijuzu kwake kufarikisha baina ya waislamu na kusababisha umwagikaji wa damu na mfarakano. Haijuzu kwake kufanya jambo hili. Ni haramu. Kuna Hadiyth nyingi juu ya kuwadhuru na kuwafarikanisha Waislamu. Haijuzu kwake kufanya hivyo.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/salmaan-al-awdah-na-demokrasia/
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7aqoq-01.mp3
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-vitabu-kama-as-ilat-uth-thawrah/