Swali: Ni lini nchi inazingatiwa kuwa ni nchi ya Kiislamu au nchi ya kikafiri?
Jibu: Ikiwa inahukumu kwa Uislamu, hiyo ni nchi ya Kiislamu. Ikiwa inahukumu kwa ukafiri, hiyo ni nchi ya kikafiri. Kinachozingatiwa ni kile kinachotumiwa kama hukumu ndani yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-2-12.mp3 Tarehe: 1427-02-12/2006-03-27
- Imechapishwa: 28/03/2024
Swali: Ni lini nchi inazingatiwa kuwa ni nchi ya Kiislamu au nchi ya kikafiri?
Jibu: Ikiwa inahukumu kwa Uislamu, hiyo ni nchi ya Kiislamu. Ikiwa inahukumu kwa ukafiri, hiyo ni nchi ya kikafiri. Kinachozingatiwa ni kile kinachotumiwa kama hukumu ndani yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-2-12.mp3 Tarehe: 1427-02-12/2006-03-27
Imechapishwa: 28/03/2024
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-tofauti-kati-ya-nchi-ya-kiislamu-na-nchi-ya-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)