Swali: Ni lini nchi inazingatiwa kuwa ni nchi ya Kiislamu au nchi ya kikafiri?
Jibu: Ikiwa inahukumu kwa Uislamu, hiyo ni nchi ya Kiislamu. Ikiwa inahukumu kwa ukafiri, hiyo ni nchi ya kikafiri. Kinachozingatiwa ni kile kinachotumiwa kama hukumu ndani yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-2-12.mp3 Tarehe: 1427-02-12/2006-03-27
- Imechapishwa: 28/03/2024
Swali: Ni lini nchi inazingatiwa kuwa ni nchi ya Kiislamu au nchi ya kikafiri?
Jibu: Ikiwa inahukumu kwa Uislamu, hiyo ni nchi ya Kiislamu. Ikiwa inahukumu kwa ukafiri, hiyo ni nchi ya kikafiri. Kinachozingatiwa ni kile kinachotumiwa kama hukumu ndani yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-2-12.mp3 Tarehe: 1427-02-12/2006-03-27
Imechapishwa: 28/03/2024
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-tofauti-kati-ya-nchi-ya-kiislamu-na-nchi-ya-kikafiri/