Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuswali ilihali vitanga vya mikono viko wazi?
Jibu: Ni wajibu. Mwanamke hatakiwi kuonesha kitu isipokuwa uso wake ikiwa kama hakuna mwanaume ambaye sio Mahram wake. Viungo vingine vilivyobaki anatakiwa kuvifunika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuswali ilihali vitanga vya mikono viko wazi?
Jibu: Ni wajibu. Mwanamke hatakiwi kuonesha kitu isipokuwa uso wake ikiwa kama hakuna mwanaume ambaye sio Mahram wake. Viungo vingine vilivyobaki anatakiwa kuvifunika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mwanamke-kuswali-mikono-wazi/