Swali: Je, ibara hii ni sahihi ya kwamba Qur-aan Tukufu udhahiri wake ni kiumbe kama mfano wa ardhi na mbingu?
Jibu: Haya ni maneno batili. Qur-aan ni Maneno ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kusema ya kwamba ni kiumbe ina maana ya kwamba imeumbwa kama viumbe vingine vinavyoonekana ikiwa ni pamoja na mbingu na ardhi. Haya ni maneno ya Jahmiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_01.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: Je, ibara hii ni sahihi ya kwamba Qur-aan Tukufu udhahiri wake ni kiumbe kama mfano wa ardhi na mbingu?
Jibu: Haya ni maneno batili. Qur-aan ni Maneno ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kusema ya kwamba ni kiumbe ina maana ya kwamba imeumbwa kama viumbe vingine vinavyoonekana ikiwa ni pamoja na mbingu na ardhi. Haya ni maneno ya Jahmiyyah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_01.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-maneno-ya-sayyid-qutwub-juu-ya-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
