Swali: Kuna mtu anataka kufungua kliniki rasmi kwa ajili ya Hijaamah (kuumika) ili achume pesa. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Imechukizwa. Imechukizwa, lakini inajuzu. Pato la kuumika ni chafu, bi maana kudharauliwa. Atafute kazi ingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)