Swali: Ni lipi jambo lililowekwa katika Shari´ah kwa mchumbiaji anapomtazama mchumba wake; atazame uso peke yake au yale anayoona mwanaume kwa Mahram wake bila ya kuwa na ´Abaa´ah na mtandio nikiwa na maana ya kwamba awe kichwa wazi?
Jibu: Ni sawa. Amtazame uso wake, vitanga vyake na nywele za kichwani mwake kwa sababu anaweza kuwa na kasoro kwenye nywele za kichwani. Ni sawa akatazama nywele za kichwani mwake, uso wake na vitanga vyake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
- Imechapishwa: 17/08/2020
Swali: Ni lipi jambo lililowekwa katika Shari´ah kwa mchumbiaji anapomtazama mchumba wake; atazame uso peke yake au yale anayoona mwanaume kwa Mahram wake bila ya kuwa na ´Abaa´ah na mtandio nikiwa na maana ya kwamba awe kichwa wazi?
Jibu: Ni sawa. Amtazame uso wake, vitanga vyake na nywele za kichwani mwake kwa sababu anaweza kuwa na kasoro kwenye nywele za kichwani. Ni sawa akatazama nywele za kichwani mwake, uso wake na vitanga vyake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-1-30.mp3
Imechapishwa: 17/08/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-anayotazama-mposaji-kwa-anayetaka-kumposa%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)