Swali: Shaykh ´Abdullaah al-Ghudayyaan amefariki na hatukuwahi kusoma kwake. Je, waweza kutuhadithia kitu kuhusu maisha yake?
Jibu: Allaah amrehemu. Maisha yake mnayajua. Yalikuwa ni maisha ya mwanachuoni. Alipanga muda wake na akaeneza kheri. Kunatarajiwa kwake kheri kwa – idhini ya Allaah
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mhdr-09-11-1432.mp3
- Imechapishwa: 19/05/2020
Swali: Shaykh ´Abdullaah al-Ghudayyaan amefariki na hatukuwahi kusoma kwake. Je, waweza kutuhadithia kitu kuhusu maisha yake?
Jibu: Allaah amrehemu. Maisha yake mnayajua. Yalikuwa ni maisha ya mwanachuoni. Alipanga muda wake na akaeneza kheri. Kunatarajiwa kwake kheri kwa – idhini ya Allaah
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mhdr-09-11-1432.mp3
Imechapishwa: 19/05/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-al-ghudayyaan/