Swali: Vipi tunaona shari na maasi mengi katika Ramadhaan ilihali tunaambiwa kuwa mashaytwaan wamefungwa?
Jibu: Watu wako aina mbili:
1- Makafiri. Hawa hawana ulinzi wa shaytwaan na khaswa wale wanaojua kuwa wataingia Motoni milele na hawatotoka ndani yake.
2- Waumini. Muumini hupunguza kufanya maasi. Makusudio si kwamba ni viumbe wote.
Kama tulivotangulia kusema watu wako aina mbili; makafiri ambao hubaki katika ukafiri na upotevu wao na waumini ambao hupunguza kufanya maasi. Haya ndio malengo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=RngN2JIBtjs
- Imechapishwa: 19/05/2020
Swali: Vipi tunaona shari na maasi mengi katika Ramadhaan ilihali tunaambiwa kuwa mashaytwaan wamefungwa?
Jibu: Watu wako aina mbili:
1- Makafiri. Hawa hawana ulinzi wa shaytwaan na khaswa wale wanaojua kuwa wataingia Motoni milele na hawatotoka ndani yake.
2- Waumini. Muumini hupunguza kufanya maasi. Makusudio si kwamba ni viumbe wote.
Kama tulivotangulia kusema watu wako aina mbili; makafiri ambao hubaki katika ukafiri na upotevu wao na waumini ambao hupunguza kufanya maasi. Haya ndio malengo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=RngN2JIBtjs
Imechapishwa: 19/05/2020
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-bado-watu-wanaendelea-kufanya-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)