Swali: Kuhusiana na wanachuoni Muhammad Fu´aad ´Abdul-Baaqiy na Ahmad Shaakir – ´Aqiydah zao ilikuwa ni Salafiyyah?
Jibu: Ahmad Shaakir alikuwa ni Salafiy.
Muhammad Fu´aad ´Abdul-Baaqiy, nijuavyo tu ni kwamba alikuwa ni mwandishi. Elimu ya Hadiyth haikuwa kazi yake. Kuhusiana na ´Aqiydah yake, Allaah ndiye Anaijua zaidi. Kuhusiana na Ahmad Shaakir, alikuwa ni mwanachuoni, muheshimiwa na ´Aqiydah ya ki-Salafiy.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Juddah (24)
- Imechapishwa: 22/04/2015
Swali: Kuhusiana na wanachuoni Muhammad Fu´aad ´Abdul-Baaqiy na Ahmad Shaakir – ´Aqiydah zao ilikuwa ni Salafiyyah?
Jibu: Ahmad Shaakir alikuwa ni Salafiy.
Muhammad Fu´aad ´Abdul-Baaqiy, nijuavyo tu ni kwamba alikuwa ni mwandishi. Elimu ya Hadiyth haikuwa kazi yake. Kuhusiana na ´Aqiydah yake, Allaah ndiye Anaijua zaidi. Kuhusiana na Ahmad Shaakir, alikuwa ni mwanachuoni, muheshimiwa na ´Aqiydah ya ki-Salafiy.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Juddah (24)
Imechapishwa: 22/04/2015
https://firqatunnajia.com/al-albaaniy-kuhusu-ahmad-shaakir/