Swali: Je, inajuzu kwa muislamu kumwambia myahudi na mnaswara kuwa ni makafiri?
JIbu: Inajuzu kwa muislamu kumwambia myahudi au mnaswara kuwa ni kafiri. Allaah amewasifu katika Qur-aan kwa wasifu huu. Hili ni jambo linalojulikana kwa yule aliyeizingatia Qur-aan. Miongoni mwa hayo ni Kauli Yake (Ta´ala):
إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ فِي نَارِ جَهَنَّمَ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ أُولَـٰئِكَ هُمْ شَرُّ الْبَرِيَّةِ
“Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa kitabu na washirikina watakuwa katika Moto wa Jahannam – ni wenye kudumu humo milele – hao ndio waovu wa viumbe.” (98:05)
Ahl-ul-Kitaab ni mayahudi na manaswara.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/94)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, inajuzu kwa muislamu kumwambia myahudi na mnaswara kuwa ni makafiri?
JIbu: Inajuzu kwa muislamu kumwambia myahudi au mnaswara kuwa ni kafiri. Allaah amewasifu katika Qur-aan kwa wasifu huu. Hili ni jambo linalojulikana kwa yule aliyeizingatia Qur-aan. Miongoni mwa hayo ni Kauli Yake (Ta´ala):
إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ فِي نَارِ جَهَنَّمَ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ أُولَـٰئِكَ هُمْ شَرُّ الْبَرِيَّةِ
“Hakika wale waliokufuru miongoni mwa watu wa kitabu na washirikina watakuwa katika Moto wa Jahannam – ni wenye kudumu humo milele – hao ndio waovu wa viumbe.” (98:05)
Ahl-ul-Kitaab ni mayahudi na manaswara.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/94)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/ahl-ul-kitaab-ni-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)