Swali: Makafiri ambao wanafanya kazi pamoja na sisi kwenye kampuni miongoni mwa wamasihi, wahinduki na manaswara wana haki zipi juu yetu na sisi tuna haki zipi juu yao? Vipi tunaweza kutangamana nao ili tusitumbukie katika kuwapenda?
Jibu: Walinganieni katika Uislamu, waamrisheni mema na kuwakataza maovu na watendeeni wema pamoja na kuchukia ile kufuru na upotevu waliyomo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/43)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Makafiri ambao wanafanya kazi pamoja na sisi kwenye kampuni miongoni mwa wamasihi, wahinduki na manaswara wana haki zipi juu yetu na sisi tuna haki zipi juu yao? Vipi tunaweza kutangamana nao ili tusitumbukie katika kuwapenda?
Jibu: Walinganieni katika Uislamu, waamrisheni mema na kuwakataza maovu na watendeeni wema pamoja na kuchukia ile kufuru na upotevu waliyomo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/43)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kafiri-wa-kazini-kwako-ana-haki-juu-yako-ya-kumlingania/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)